Kiburi na uharibifu wa Historia

Kiburi na uharibifu wa Historia.

“Katika karne ya kati Wakristo katika maandishi yao walianza kugawa watu kwa misingi ya kikabila na kitaifa kama ilivyotajwa katika agano la kale (Mwanzo) na kuongeza ugawaji wa tabaka jipya: Ikawa ni itikadi iliyoenea kuwa watu wa dini na makasisi wanatokana na kizazi cha Shemu. Wapiganaji wanatokana na kizazi cha Yafith. Mafukara wanatokana na kizazi cha Hamu watoto wa Nuhu (‘Alayhi Salaam). Ilifikia kuwa katika mwaka 1964 kumpeleka Senata wa Marekani Robert Byrd kutoka mji wa Virginia ya Magharibi kutumia kisa cha Nuhu kama sababu ya kubaki sera ya ubaguzi katika Marekani.


Tags: