Issa anasisitiza katika Injili kuwa Mungu ni mmoja

Issa anasisitiza katika Injili kuwa Mungu ni mmoja.

“Na mmojawapo wa waandishi akafika, akawasikia wakisemezana naye, akatambua ya kuwa amewajibu vema, akamwuliza, Katika amri zote ni ipi iliyo ya kwanza? Yesu akamjibu, Ya kwanza ndio hii, Sikia, Israeli, Bwana Mungu wetu ni Bwana mmoja; nawe mpende Bwana Mungu wako kwa moyo wako wote, na kwa roho yako yote, na kwa akili zako zote, na kwa nguvu zako zote.” (Marko Mtakatifu 12:28-35). Huu ni usia wa kwanza.


Tags: