Uislamu ni Mwepesi.

Uislamu ni Mwepesi.

“Hakika wepesi mkubwa wa Uislamu unatokana na tawhidi halisi. Katika wepesi huu ndio kuna siri ya nguvu ya Uislamu. Uislamu na ufahamu wake ni mwepesi umeepukana na yale tunayo yaona katika dini nyingine na akili iliyosalimika inakataa migongano na utata. Hakuna kitu kilicho wazi zaidi kuliko misingi ya Uislamu inayoeleza uwepo wa Mungu mmoja na usawa wa wanadamu wote mbele ya Allah.”


Tags: