Kukusanywa kwa Sunnah za Mtume

Kukusanywa kwa Sunnah za Mtume.

“Hadithi hizi ambazo mkusanyiko wake unatengeneza Sunnah zimeandikwa kutokana na yaliopokewa kutoka kwa Masahaba au kunakiliwa kutoka kwao kwa umakini mkubwa katika kuzichagua kwake; na kwa namna hii kiasi kikubwa cha Hadithi kilikusanywa.”


Tags: