Wanadamu ni Wanyama wanapokataa Dini.

Wanadamu ni Wanyama wanapokataa Dini.
Katika takwimu katika moja ya vyuo vikuu nchini Marekani ambavyo yaliandikwa katika kitabu (Amerika ina swali au haiswali) ya David Parton kuwa: -Asilimia themanini 80% ya wanawake Marekani hubakwa mara moja katika maisha yao!! -Idadi ya wanawake wenye kubakwa kila siku ni zaidi ya wasichana 19000. Matokeo ya hilo ni kuwa kiasi cha asilimia thelathini 30% ya wasichana huko Marekani ima hupata mimba au hutoa mimba au kujifungua katika umri wa miaka kumi na nne. -Asilimia sitini na moja (61%) za ya hali ya kubakwa ilikuwa kwa wasichana chini ya miaka kumi na nane. -Asilimia 29% ya ubakaji ilikuwa kwa watoto chini ya miaka kumi na moja


Tags: