Qur-aan na Sayansi bega kwa bega.

Qur-aan na Sayansi bega kwa bega.
“Nilifanya utafiti kuhusu Qur-aan Tukufu bila ya kuwa na fikra yake yoyote hapo kabla, na bila upendeleo. Lengo ni kutafuta kiwango cha maafikiano kati ya Qur-aan na kinachopatikana katikaelimu leo hii. Nilichokipata ni kuwa Qur-aan haina aya au andiko linaloweza kukosolewa kwa upande wa elimu katika zama hizi.”


Tags: