Nafasi ya Qur-aan na fadhila zake.

Nafasi ya Qur-aan na fadhila zake.

“Qur-aan imebakia karne kumi na nne imehifadhiwa katika kumbukumbu ya Waislamu ikihamasisha fikra zao, kutengeneza tabia zao, na kuchochea hamasa za mamia ya milioni ya watu, Qur-aan inaweka katika nafsi za watu imani nyepesi zaidi yenye utata mchache ambao ipo mbali na vifungo vya rasimu na mafundisho ya Kikristo. Qur-aan imekuwa bora katika kunyanyua viwango vya tabia za Waislamu elimu. Na ndio iliyosimamisha ndani yao kanuni za mfumo wa kijamii na umoja wake, na kuwahimiza kufuata kanuni za afya na kufungua akili zao kutokana na dhana potofu na dhuluma na ususuavu (wa nyoyo) na kutengeneza vizuri hali za watumwa na kuingiza katika nafsi za wanyonge heshima na utukufu.”


Tags: