Hadhi ya Mwanamke.

Hadhi ya Mwanamke.
“Uislamu umemnyanyua mwanamke katika nchi za Kiarabu, na hivyo ukamaliza desturi ya kuua mabinti na akaweka usawa baina ya mwanaume na mwanamke katika taratibu za kisheria na uhuru wa matumizi ya mali, na akajaalia miongoni mwa haki yake ni kufanya kazi yoyote ya halali. Na kuhifadhi mali na mapato yake, kurithi na uhuru wa kutumia mali yake atakavyo, na hivyo kufuta ada waliokuwa nayo Waarabu katika zama za Ujahilia ya wanawake kurithiwa na baba zao au watoto wao kama vile zinavyorithiwa mali na mizigo, na ukafanya fungu la mirathi ya mwanamke ni nusu ya fungu la mwanaume na akakataza kuozeshwa bila ya matakwa yao.”


Tags: