Mfumo Bora

Mfumo Bora
“Uislamu ulifanikiwa: Kwa sababu ulikuwa ni mfumo bora wa Kijamii na kisiasa ambao siku ziliweza kuutanguliza (mbele). Nao ulisambaa. Kwa sababu kila ulipokwenda ulikumbana na mataifa yaliyokuwa nyuma kisiasa. Mataifa ambayo yalikuwa yakinyang’anya raia zake, yakidhulumu na yakiwahofisha wala hayakusoma wala kuwa na utaratibu wowote, vile vile ulikuta serikali hizo zina ubinafsi na ugonjwa hazina uhusiano baina yake na watu wake. Hivyo Uislamu ukabaki ndio fikra safi zaidi ya kisiasa na utendaji mzuri ulimwenguni hadi muda ule ulikuwa ukiwatumikia watu kwa mfumo bora kuliko nidhamu yoyote nyingine. Ama mfumo wa Kibepari ulikuwa ukiwafanya watu kuwa ni watumwa katika ufalme wa Roma. Elimu, fasihi na taratibu na ada na kijamii huko Ulaya zilikwisha anguka kabla ya Uislamu kuibuka.”


Tags: