Kutoka katika taa moja.

Kutoka katika taa moja.
“Hakukuwepo ndani ya ujumbe wa Muhammad kubatilisha yaliyoteremshwa kabla yake; bali ni kusadikisha upungufu uliovikumba vitabu vya mbinguni kama vile; kubadilisha na kuvunja sheria, na ukalazimishwa kusafisha mafundisho ya Mitume waliyotangulia katika kila kosa. Hivyo kupanuka ndani yake na kuenea kwake: ili iwafae wanadamu wote katika kila zama na mahali.”


Tags: