Kusingebakia Mwenye Njaa.

Kusingebakia Mwenye Njaa.
“Sijaona dini iliyoweka sheria timilifu kwa ajili ya Zaka kama Uislamu. Na Jamii ya Kiislamu inayopupia kutoa Zaka huepukana na ufukara, mtu kunyimwa mahitaji yake na watu kukimbia. Mimi ninasawirisha lau Ulimwengu wote huu ungeelekea kwenye Uislamu basi kusingebakia katika mgongo wa ardhi mwenye njaa yoyote mwenye kunyimwa.”


Tags: