Hoja yenye kuzungumza.

Hoja yenye kuzungumza.
“Kwa hakika kuna uwezekano wa kudhoofika kila kitu tunachokipenda, na kubatilisha uhuru wa matumizi ya akili, elimu, na viwanda, lakini ni muhali kufutika dini, bali itabakia kuwa ni hoja yenye kuzungumza dhidi ya ubatili wa madhehebu ya kiyakinifu (yanayotanguliza dunia na anasa zake) ambayo yanataka kumdhibiti mwanadamu katika dhiki ya uduni katika maisha ya ardhini.”


Tags: