Hazifanani.

Hazifanani.

“Hakuna mfano wa Uislamu, dini ambayo imetukuza Manabii na Mitume ambao walikuja kabla ya Mtume Mwarabu. Dini hii imewataka waumini wake kuwatukuza watu hawa na kuwaamini. Hakuna dini iliyo sawa na Uislamu katika kuheshimu dini zingine zilizoteremka ambazo zilitangulia katika kuteremka na Wahyi.”


Tags: