Wema wa Amani

Wema wa Amani
“Kila Muislamu anaposoma Qur-aan kwa undani zaidi na akasimamisha kutekeleza alama za Uislamu kwa ukweli, basi mtu huyu atakuwa amepanda wema wa amani katika msafara wa Uislamu. Na hivyo atakuwa amepanda vile vile treni ya utulivu na kuwa mbali na uchafu wa shetani.”


Tags: