Urithi bora.

Urithi bora.
“Miongoni mwa mambo muhimu ambayo Uislamu umeyarithisha Ulimwengu huu ulioendelea ni kanuni zake za dini ambazo zinaitwa Sheria. Kwa hakika sheria ya Kiislamu ni kitu cha pekee katika mlango wake, ni jumla za amri za kiungu ambazo zinaratibu maisha ya kila Muislamu katika Nyanja zote, nazo zinakusanya hukumu maalumu kuhusu ibada na mambo mengine ya kidini, kama ambayo inakusanya misingi ya kisiasa na kanuni zake mbali mbali.”


Tags: