Soma… Huu Ndio Mwito wa Uislamu

Soma… Huu Ndio Mwito wa Uislamu
“Hapana shaka kuwa Uislamu (ambayo ni dini ya elimu na maarifa) inawalingania wenye kuikumbatia katika kutafuta elimu na kuitumia, wala hakuna ajabu katika hilo. Kwani Ayah ya mwanzo katika Qur-aan Tukufu ni kauli yake Allah Ta’ala: “Soma kwa jina la Mola wako Aliyeumba.”


Tags: