Rehema kwa Walimwengu.

Rehema kwa Walimwengu.
“Maisha ya mfano wa Muhammad. Na nguvu kama nguvu za kuchunguza na kufikiri kwake mambo, jihadi yake, na msimamo wake wa kuondosha upotofu uliokuwa katika Ummah wake na ujahilia wa watu wake na ukali wake wa kupambana na washirikina kunyanyua neno la Mola wake na kufungamana na ujasiri wake katika kuthibitisha nguzo za dini ya Kiislamu. Yote hayo ni dalili kuwa hakukusudia udanganyifu au kuishi katika batili; alikuwa ni mwanafalsafa, khatibu, Mtume, mweka sheria, mwenye kumuongoza binadamu kwenye akili, mwanzilishi wa dini isiyokuwa na udanganyifu. Yeye ni muanzilishi dola ishirini ulimwenguni, na mfunguzi wa nchi ya Kiroho mbinguni. Ni nani aliyepata ukubwa wa Uislamu kama alivyopata yeye!!


Tags: