Muumba wa Kila Kitu

Muumba wa Kila Kitu
“Mimi nipo: Basi ni nani aliyenileta na ni aliyeniumba?, Mimi sijajiumba; hapana budi kuwepo na Muumba, na Muumba huyu hapana budi awe wajibu wa uwepo. Asiyehitaji uwepo wa mwingine aliyemleta, au mwenye kuhifadhi uwepo wake, Mungu huyu anapasa kusifika kwa sifa zote za uzuri Muumba huyu ni Allah mwanzilishi wa kila kitu.”


Tags: