Imani ya Muhammad juu ya Ujumbe Wake.

Imani ya Muhammad juu ya Ujumbe Wake.

“Huenda wale wafalme na watawala ambao walipokea barua waliingiwa na mshangao kutokana na mtu huyu asiye na makuu ambae aliwaita kwenye utii. Kutuma barua hizi kunatupa picha ya kiasi cha kujiamini kwa Muhammad mwenyewe na ujumbe wake. Aliuandalia Umma wake kwa kujiamini huku na imani hii ni nguvu, utukufu na ulinzi, pembezoni mwake ni wakazi wa majangwani kubadilika kuwa mabwana waliofungua nusu ya Ulimwengu uliokuwa ukijulikana katika zama zao. Muhammad alifariki baada ya kuyafanya makabila yote ya Kiarabu yaliyotawanyika kuwa Ummah mmoja wenye ghera na hamasa.”


Tags: