Imani na Babaiko Havikutani

Imani na Babaiko Havikutani
“Mawimbi makali ya bahari kamwe hayaathiri utulivu wa chini ya bahari. Wala kuathiri amani yake, vivyo hivyo mtu ambae imani yake imezama kwa Mungu kikweli ameepukana na babaiko na atahifadhi mizani yake, na atajiandaa wakati wote kupambana na matatizo yoyote yanayoweza kuletwa na masiku huko baadae.”


Tags: