Imani na Afya ya Nafsi

Imani na Afya ya Nafsi
“Kwa muda wa miaka thelathini iliyopita nimewapa ushauri watu wa mataifa mbali mbali yaliyostaarabika ulimwenguni, nikatibu mamia ya wagonjwa. Sijapata tatizo moja katika matatizo ya wale wenye umri zaidi ya miaka thelathini na tano au mfano wake ila tatizo lao wote lilikuwa linarejea katika msingi wa kukosa kwao imani na kutoka katika mafundisho ya dini. Na ni sahihi kusema kuwa: Kila mgonjwa katika wagonjwa wale walikuwa ni mhanga wa maradhi: Kwa sababu wamenyimwa utulivu wa nafsi ambao unaletwa na dini. Hakupona hata mmoja miongoni mwao ila aliporejesha imani yake na kujisaidia kwa kufuata maamrisho ya dini na kuacha makatazo yake na kukabiliana na maisha yao.”


Tags: