Hisia za Kimaumbile.

Hisia za Kimaumbile.
“Mungu ambae tunajisalimisha kwa uwepo wake, haishii kwenye Ulimwengu wa Mada, wala hisia zetu dhaifu haziwezi kumdiriki (kumpata), na katika hilo ni mchezo kujaribu kuthibitisha uwepo wake kwa kutumia sayansi: kwa sababu Mungu mwenyewe huchukua duara lisilokuwa duara lake finyu lenye ukomo. Kwa hakika imani ya kuwepo Mwenyezi Mungu ni katika mambo mahususi ambayo yanaota katika hisia ya mwanadamu na dhamira yake na kukua katika mzunguko (duara) wa uzoefu wake binafsi.”


Tags: