Hayo ni Maneno ya Mwenyezi Mungu.

Hayo ni Maneno ya Mwenyezi Mungu.
“Mimi sina shaka japo mara moja katika ujumbe wa Muhammad na ninaamini kuwa yeye ni Mtume wa mwisho. Ametumwa kwa watu wote na ujumbe wake umekuja kuhitimisha Wahyi uliokuja katika Torati na Injili. Dalili nzuri kabisa katika hilo ni Qur-aan yenye miujiza. Mimi napinga fikra za Pascal mwanazuoni wa Ulaya mwenye chuki kubwa ya Uislamu na Waislamu isipokuwa fikra moja tu: nayo ni kauli yake: Qur-aan sio katika utunzi wa Muhammad kama ambavyo sio katika utunzi wa Mathayo.”


Tags: