Habari ya Ajabu Zaidi.

Habari ya Ajabu Zaidi.
“Habari ya kuibuka kwa Uislamu lilikaribia kuwa habari ya ajabu zaidi ambayo historia ya mwanadamu imeandika, kudhihiri kwa Uislamu katika Ummah ambao kabla ya wakati huo ulikuwa hauna utulivu na nchi ilikuwa imeparaganyika. Haikupita muda wa miongo kumi ya kudhihiri kwake Uislamu ulikuwa umeshasambaa nusu ya Ulimwengu ikivunja falme kubwa na kuzitupilia mbali, na kubomoa dini za kale ambazo zimepita zama na vizazi, na hivyo kubadilisha nafsi za umma nyingi na kujenga Ulimwengu mpya wenye nguzo imara nayo ni Ulimwengu wa Uislamu.”


Tags: