Dini ya watu wote.

Dini ya watu wote.

“Aya mbili: “Bila ya shaka Dini mbele ya Mwenyezi Mungu ni Uislamu….” (3:19) na “Na hatukukutuma ila kwa watu wote, uwe mbashiri, na mwonyaji” (34:28) zimeacha athari kubwa sana katika nafsi yangu: Kwani ndani yake kuna dalili ya ule muhuri Kilimwengu ambao Uislamu unapambauka nao mbali na zile sifa unazosifika nazo Uislamu za nidhamu na sheria nyingine na ubainifu wake kamili wa ukweli wa Nabii Issa. Je, kuna ukweli wenye nguvu zaidi kuliko mafundisho yale huru ambayo yanatuusia kuheshimu kila walichokuja nacho Mitume na manabii?! Hapana shaka yoyote kuwa dini ya Kiislamu ni dini ya haki, dini ya kweli na dini yenye hoja na dalili.”


Tags: