Basi Zianguke Staarabu za Vitu

Basi Zianguke Staarabu za Vitu
“Imekwisha bainika kuwa Uislamu na misingi yake humletea mtu utulivu katika nafsi yake. Ama ustaarabu wa Maada (vitu) humpelekea mtu kukata tamaa: Kwa sababu wao hawaamini chochote, kama ambavyo imebainika kuwa watu wa Ulaya hawakufahamu Uislamu: Kwani wanapima kwa vipimo vyao vya kimaada.”


Tags: