Akida iliyokita.

Akida iliyokita.
“Katika nguzo tano za Uislamu hakuna kitu kinachochukiwa na asiyekuwa Muislamu. Pamoja na wepesi wa faradhi hizi na uchache wa idadi yake, hakukuwa na haja ya kuingiza marekebisho yatakayoiongoza kwenye kuithibitisha imani ya Kiislamu katika nafsi ya kila Muislamu. Hakika ubobezi wa kielimu kwa imani ya Kiislamu ina dalili ya dhati kutokana na nguvu yake, kubakia na kuenea kwake.”


Tags: