Muujiza ya kweli

Muujiza ya kweli.

“Ikiwa sisi tutalinganisha misingi ya Qur’ani na misingi ya jamii zote zilizopita; basi tutakuta kuwa Qur-aan ndio itakayokuwa imerikodi maendeleo ndani yake yasiokuwa na ubishi, na haswa haswa kwa munasaba wa Athens na Roma; ambapo mwanamke alikuwa na mapungufu kwa sura thabiti.”


Tags: