Ujumbe wa Utume wa Muhammad.

Ujumbe wa Utume wa Muhammad.

“Muhammad alitumia muda wake wote kufanikisha ujumbe wake katika kudhamini hizi mandhari mbili katika mazingira ya jamii yake ya kiarabu, hayo mawili ni Umoja katika Fikra ya dini, kanuni na nidhamu ya utawala na hukumu. Yote yalitimia kwa fadhila za nidhamu ya Uislamu ambayo ulibeba mgongoni mwake umoja na utawala wenye mamlaka kwa pamoja. Uislamu ukawa na nguvu kwa fadhila hiyo, nguvu yenye msukumo na utisho imewahamisha waarabu kutoka kwenye umma wa kijahili na kuwa ulioendelea.”


Tags: