Roho ya Uislamu.

Roho ya Uislamu.
“Mimi naamini kuwa Uislamu ni dini ambayo huingiza amani na utulivu ndani ya nafsi. Na humfundisha mwanadamu utulivu, kupumzisha akili katika maisha haya. Roho ya Uislamu imetambaa kwenye nafsi yangu: Nikahisi neema ya kuamini hukumu ya mungu na kutokujali athari za Ki-Maada kama vile utamu na uchungu.”


Tags: