Elimu na Dini.

Elimu na Dini.
“Mimi si amini ya kuwa elimu yapasa igongane na dini katika hali ya kawaida. Kwa hakika ninaona kuna uhusiano na fungamano baina yao. Hivyo basi mnasema kuwa elimu bila ya dini ni kama vile mtu aliyepooza mguu. Na dini bila ya elimu ni kipofu kila kimoja ni muhimu. Zinatakiwa zifanye kazi pamoja mkono kwa mkono. Inaelekea kwangu kuwa Yule ambae hatofurahishwa na ukweli katika elimu na dini ni kama mtu aliyekufa.”


Tags: