Upekee wa Mungu mmoja (Tauhidi)

Upekee wa Mungu mmoja (Tauhidi)
“Hakika ya msingi katika Uislamu ni Tauhidi kuwa Allah ni mmoja na Muhammad ni Mtume wa Allah. Ama ushirikina umewekwa pembeni. Hakuna baba wala mtoto wala mpaka kati ya ambacho ni kitukufu, na ambacho ni cha dunia, au cha Mashariki na kile cha Magharibi kuna ulimwengu mmoja tu na dini moja tu.”


Tags: