Ulahidi (Kumkana Mungu)… ni aina ya Upumbavu

Ulahidi (Kumkana Mungu)… ni aina ya Upumbavu
“Kumkana Mungu ni aina ya Upumbavu: Ninapoangalia utaratibu wa jua ninaona kuwa ardhi imekaa sehemu inayostahiki kutoka kwenye jua, ambayo inayoiwezesha kupata kiasi cha kutosha cha joto na mwanga, na hii bila ya shaka halijatokea ghafla.”


Tags: