Qur-aan ni Miujiza

Qur-aan ni Miujiza
“Kwa hakika nimefuatilia aya zote za Qur-aan ambazo zina uhusiano na sayansi na mazingira nikazikuta kwamba aya hizi zinakubaliana na elimu zetu mpya. Nimeyakinisha kuwa Muhammad (Swala Llahu ‘alayhi Wasallam) amekuja na ukweli ulio wazi kabla ya miaka elfu moja, na kabla ya kuwepo mwalimu yoyote miongoni mwa wanadamu. Lau kila mwenye elimu au fani angelinganisha vizuri aya zote za Qur-aan zinazohusiana na alichokisoma, kama nilivyolinganisha bila shaka angetii Qur-aan, ikiwa ana akili ameepukana na hisia za chuki.”


Tags: