Mungu Kumkirimu Mwanadamu

Mungu Kumkirimu Mwanadamu
Uislamu ambao ni kanuni ya Mwenyezi Mungu.Tunaona ikiwa ni wazi katika mazingira yanayotuzunguka; Kwa maamrisho pekee ya Mwenyezi Mungu, milima, bahari, sayari, nyota zinakwenda na kuongoka katika mapito yake (mzunguko wake). Vivyo hivyo kila atom katika ulimwengu huu (hata viumbe visivyokuwa hai) ila mwanadamu amevuliwa (anaondolewa) katika kanuni hii; kwani Mwenyezi Mungu amempa uhuru wa kuchagua; kwa hiyo anaweza kujisalimisha kwa amri ya Allah au akaweka kanuni zake mwenyewe na kwenda katika dini yake ambayo anairidhia, kwa masikitiko njia ya pili ina vizuizi vikubwa.”


Tags: