Misingi Misafi

Misingi Misafi
“Uislamu sio dini mpya kutoka kwa Muhammad, lakini ilipoanza kusambaa ardhini baada ya kupita miaka mia sita ya kupaishwa mbinguni kwa masihi. WAHYI wa pili ulianza kushuka, ulikuwa ni ule ule unaounga dini za mbinguni na kuzirejesha kwenye asili yake safi. Mitume wote waliotumwa na Mwenyezi Mungu walikuwa Waislamu na ujumbe wao ulikuwa ni mmoja daima.”


Tags: