Kujenga na Kuimarisha

Kujenga na Kuimarisha
“Uislamu unatambua kuimarisha vipaji; uzamifu na upembuzi binafsi: ni dini ya kujenga na kuimarisha na sio dini ya kubomoa. Kama kwa mfano mtu anamiliki ardhi na yeye kwa upande mwingine ana utajiri ambao hataki kulima ardhi ile na akaiacha tupu, baada ya muda fulani ardhi ile itahamia katika ardhi za Ummah katika hali ya kawaida. Sheria ya Kiislamu inathibitisha kuwa miliki ya ardhi hiyo itahamia katika mkono wa mtu wa kwanza ambae atalima ardhi ile.”


Tags: