Prince Charles

quotes:
  • Mafanikio ya Kielimu
  • “Uislamu umepata mafanikio makubwa ya kielimu zaidi ya karne nane: Hivyo basi ni makosa kudhania kuwa Uislamu ni kunakili Ustaarabu tu. Au kuwa ustaarabu mpya ni wa Magharibi kwa vile umekamilika. Uislamu una fadhila kubwa katika kuweka kanuni za awali ambazo zimepelekea mafanikio hayo.”


  • Uislamu na Mazingira
  • “Katika Qur-aan Tukufu hakuna kutenganisha kati ya mwanadamu na mazingira. Ulimwengu wa Kiislamu unalea hazina zilizojazana kutokana na hekima na maarifa aliyozawadiwa mwanadamu.”