Ignaz Goldziher

quotes:
  • Maisha Mazuri
  • “Ikiwa tunataka kuwa waadilifu kuhusu Uislamu ni juu yetu kukubali kuwa katika mafundisho yake kunapatikana nguvu hii ambayo inawezekana ikawa maisha mazuri na haswa katika upande wa kimaadili. Mafundisho haya yanatakia rehema kwa viumbe vyote vya Mungu, na uaminifu katika mahusiano ya watu wenyewe kwa wenyewe, kadhalika mapenzi na ikhlasi na kuzuia silika zenye kuipelekea kwenye matamanio kama ambayo inavyowatakia mambo mengine mazuri. Matokeo ya mambo yote haya ni kuwa Muislamu mwema anaishi maisha yenye uzalishaji mwingi kwa kadiri maadili yanavyohitajia.”