Ibrahim Khalil (Philobus)

quotes:
  • Hakuna kumuabudu asiyekuwa Allah.
  • “Navutika sana na Imani ya Uislamu ya Mungu mmoja. Hakuna kama Yeye. Imani hii ya Mungu Mmoja pekee inamuepusha mtu na kuwa mtumwa wa binadamu yeyote na huu ndio uhuru wa kweli. Ule uhusiano wa moja kwa moja kati ya Mungu na watumwa wake (waumini) ulinivutia vile vile.”