Dr. Rene Dubos

quotes:
  • Zama za Babaiko.
  • “Kwa hakika sisi tunaishi katika zama za babaiko, wala hapana shaka kuwa mafanikio ya Sayansi na teknolojia zimemzidishia mwanadamu anasa na starehe lakini kwa upande mwingine haikumuongezea furaha na utulivu bali kinyume chake imemuongezea khofu, babaiko, kukata tamaa na maradhi ya nafsi yamemuondoshea maana nzuri ya maisha haya.”