Maadili ya Watu

Maadili ya Watu
“Kwa hakika Waislamu kama wanavyojulikana ni watu waliokamilika zaidi kuliko Wakristo: Walikuwa ni watu wenye kulinda ahadi zaidi, wenye kuwahurumia zaidi wanaowashinda. Na makosa machache sana waliyofanya katika historia yao kuliko unyama waliofanya Wakristo walipotawala Qudsi mwaka 1099.


Tags: